watendaji wa TANESCO na REA Kagera


KAGERA

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Albert Chalamila amewataka wakandarasi na wasimamizi wa mradi ya Rea awamu ya tatu mzunguko wa pili unaendelea kutekelezwa mkoani humo wabadilike na wakamisha mradi huo kwa wakati.

Akizungumza na mameja shirika la umeme Tanzania Tanesco wa wilaya ndani ya mkoa huo na wakandarasi pamoja na wabunge amabao na wawakilishi wa wanachi wenye gharama  zaidi ya shilingi bilioni 37 unaoendelea  tekelezwa mkoa mzima  na kampuni ya jv pomy engineering company ltd and qwihaya general partnership project amesema kuwa kwa sasa tunahitaji maendeleo ndani ya mkoa huu, hatuwezi kuona mtu anapewa kazi akashindwa kutekeleza tukakubalia na kwenda naye, sasa ni maendeo tu ndo wanataka wanchi wa Kagera.

MKUU WA MKOA WA KAGERA ALBERT CHALAMILA

“Katika Mkoa wutu mimi ningeliomba mbadilike  i want from  today to change you are behave part badilisheni luwaa za tabia zenu sisi kiukweli huwa hatuna mzaa katika usimamizi wa miradi mahali panapo hitaji siasa wananchi ntawambia hapa sio”, amesema Rc Chalamila.



Kwa upande wake mwakilishi wa mkurugenzi mkuu wa Rea Adivara Mwijage amsema kuwa kwa upande wa huduma ya nishati ya umeme vijijini serikali imetenga fedha zipo na chanagamoto walio nayo ni wakandarasi kutotekeliza miradi kwa wakati na kutumia nafasi hiyo kumtaka mkandarasi anaye simamia upande wa mkoa Kagera kufikia mwezi april mwaka huu aweamekamilisha mradi huo ambapo mradi huu ulitakiwa ukamilike tangu  mwezi January 2023.

TUKO SITE

Katika hatua nyingine Adivera ametoa rai kwa wasimamizi wa miradi kuacha tabia ya kutowalipa vibarua ili kuondoa migongano katika vijiji na maeneo ya miradi ya REA inayotekelezwa.