Deo Nsokolo Rais Muungano wa klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC)
Na Rose Mweko, Dodoma.cha wanasheria cha Tanganyika kwa kushirikiana Muungano wa klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kimeendesha mafunzo kwa wanahabari wa kike kutoka katika club za wanahabari mikoa ya Tanzania bara ili kukuza uelewa juu ya sheria mbalimbali nchini..
akizungumza na wanahabari hao, Raisi wa Muungano wa klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) Deogratias Nsokolo amewataka waandishi wa habari nchini kuhakikisha wanaandika Habari mbalimbali zinazohusiana na masuala ya kisheria ili kutoa uelewa mpana wa masuala mbalimbali yanayohusu uelewa Kwa kisheria hapa nchini.
Wakili Mary Mwita mwezeshaji wa mafunzo ya Sheria
alisema kuwa mafunzo hayo yatatoa uelewa mpana wa namna ya kuandika Habari mbalimbali zinazohusu masuala ya kisheria hapa nchini na kuwa sauti kwa wasiokuwa na sauti hasa watu washio pembezoni.
0 Maoni