1.    Naibu Waziri Kilimo Anthony Mavundea kiongea katika kikao kazi na Washiriki wa mkutano huo na Wawekezaj ikutoka China.



NA ROSE MWEKO,

Naibu Waziri Kilimo Mhe. Anthony Mavunde ameihakikishia kampuni kubwa ya uzalishaji wa mbegu iitwayo Longping High Tech kuwa Serikali ya awamu ya sita imejipanga kusimaia uwekezaji wenye tija wa zao la soya kuanza mwaka huu ili zao hilo kuanza kuchagia pato la taifa.

Mavundea litoa kauli hiyo wakati akizungumza na Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo, Bwana Liang Shi katika kikao kilichohudhuriwa na Naibu Waziri Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe, Balozi wa Tanzania nchini China; Mhe. Mbelwa Kairuki, Balozi wa Tanzania nchini Brazil, Prof. Adelardus Kilangi,Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bwana Andrew Massawe na viongozi mbalimbali,aidha kwa upande wa kampuni hiyo alikuwepo Mkurugenzi wa Biashara na Fedha wa Longping High Tech Bwana Shangyang Wu.

Mavunde alisema Wizara ya Kilimo kwa kutambua umuhimu wa zao hilo katika kuinua maisha ya Watanzania, Wizara imejipanga kuwawezesha watanzania kunufaikana uwekezaji huo huku akiwahakikishia wawekezaji hao kuwa uwekezaji wao utakuwa wenye tija.

Katika kuhakikisha adhma hiyo inatekelezwa, Naibu Waziri Mavunde ataongoza timu ya Wataalam kutoka wizarani naTaasisi nyingine zilizo chini ya Wizara hiyo kwenda mkoani Mbeya kuzungumza na wakulima wa zao hilo ikiwa ni harakati za awali za kuanza kwa uwekezaji huo mkubwa ambapo uongozi wa Mkoa wa Mbeya umeshatenga ardhi kwa ajili ya zao hilo.

“HawaWawekezajiwametembeleasehemumbalimbalimikoanikuangaliamaeneoyakusaidiauzalishajiwazaohiloambapowamekuwawakiongozananawatendajiwataasisizilizochiniyaWizarayaKilimo


1.    Naibu Waziri Kilimo Anthony Mavunde akiwa pamoja na Naibu Waziri Wizara ya Uwekezaji Viwanda na Biashara Exaud Kigahe katika kikao kazi na Wawekezaj ikutoka China.


Kwa upande wake KatibuMkuu Wizara ya Kilimo Bwana Andrew MassaweamesemaWizarayaKilimoitatoakipaumbelekwakampuniyaLongping High Techiliianzezoezi la kuingizambegubora za soya kwaajiliyamajaribiomapemaiwezekanavyo.

“Taasisi ya Udhibiti wa Ubora wa Mbegu (TOSCI) ipo chini ya Wizara ya Kilimo; Nitahakikisha mnapataushirikianowakutosha, nanisemejambomojahatakamabadomtakuwanamahitajiyaziadamsisitekutuambia, ilimpateusaidizimapemaiwezekanavyo”. AlisemaKatibuMkuu Andrew Massawe.

nabaadhiyamaeneoambayowamependakushirikiananaWakulimakuendelezazaohilinimkoawa Mbeya ambapohataSerikaliyamkoaumeshatoaardhihekarilakimojawilayaniChunya, ambapomwekezajiatalionaeneokablayakuanzakwauwekezaji.”amesemaMavunde.

Mavundeamesemauwekezajihuo, utaongezatijanauzalishajiwamaharageya soya kwasababu, kampuniya Longping itatoambegu bora za soya, zana bora za kilimokwaWakulimawakatinawakubwanauhakikawasokobaadayawakulimakuanzakuvuna.

“Wakulimawa Tanzania wamekuwawakibaliwanachangamotoyamasokoyauhakika, kwenyeuwekezajihuusokoliponikubwana la uhakikaambapomkulimaataendashambaniakiwanauhakikawawapiatauzamazaoyake.”aliongezaNaibu Waziri Mavunde.

NayeNaibu Waziri ViwandanaBiasharaMhe. ExaudKigaheamesemaWizarayakekupitiaKituo cha UwekezajiTanzania (TIC) imejipangakufanikishauwekezajihuo.

“TumeshakubalianakuwezeshakuanzakwaharakakwakwamradihuuhasaikizingatiwakuwanimatokeaoyamkutanowaMawaziriwa Afrika, uliofanyika China nana Tanzania nikatiyanchitatu za Afrika zilizopatanafasiyakuuzazao la soya katikasoko la China, nchinyingineni Benin na Ethiopia.” AmesemaNaibu Waziri Kigahe.

Kwa upandewake Balozi wa Tanzania nchini China, MbelwaKairukiamesemakampuniya Longping inatambulikanaimepata baraka zotekutokaserikaliya China nakuzitakamamlakazinazohusiananamradihuukufanya kazi kwajuhudikubwakwakuwafursayauwekezajimkubwawazaidiyaShbilioni 500 itumiweipasavyo.